Tokeo la 1 hadi la 10
Idadi ya matokeo: 144
Nairobi, Septemba 19, 2022 – asilimia 78 ya wakazi barani Afrika husafiri kwa miguu na kutumia baiskeli kila siku, ila hali ngumu, hatari na zisizofaa huchangia kuongezeka kwa kasi kwa idadi ya magari katika miji…
Zaidi ya miaka miwili iliyopita, Christophe Hodder alichaguliwa kama Mshauri wa kwanza wa Umoja wa Mataifa wa Usalama wa Hali ya Hewa na Mazingira nchini Somalia. Tangu wakati huo, alianzisha juhudi za kimataifa…
Wiki hii, viongozi duniani wamekusanyika mjini Lisbon, Ureno, kwa Kongamano la Bahari la Umoja wa Mataifa. Azimio la kisiasa linatarajiwa kutolewa. Kongamano hilo linatokea wakati wa kipindi kinachorejelewa na…
Wakati ambapo mkulima Mohamed Ibrahim Aden hashughulikii mashamba yake binafsi, mara nyingi unaweza kumpata akinyuzia miche maji kwenye bustani ndogo ya miche inayomilikiwa na jamii katika kijiji cha Gobweyn nchini…
Tunahitaji utambuzi wa kimkakati wa mchanga na kuchukua hatua katika sekta zote zinazohitajika, ripoti yahimiza Geneva, Uswisi, Aprili 26, 2022 – Tani bilioni 50: zatosha kujenga ukuta wenye upana wa mita 27 na…
Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) lilitangaza leo kuwa Hababi David Attenborough ndiye mshindi wa Tuzo la Mabingwa wa Dunia la Mafanikio ya Kudumu kutokana na juhudi zake za utafiti, uandaji wa…
Jua linapotua eneo la kati nchini Zambia, miale ya rangi ya machungwa inaakisi kwenye Kinamasi cha Lukanga, eneo kubwa la ardhi oevu lililo na upana wa kilomita mraba 2,600. Njia yenye maji mengi hupita kwenye…
Tuzo la Mabingwa wa Dunia hutuza watu binafsi, makundi na mashirika ambayo huchukua hatua za kusababisha mabadiliko chanya kwa mazingira. Mwaka huuupendekezaji wa watu binafsi na mashirika ambayo yamesaidia kuzuia…
Hata eneo la Akitiki, ambalo hapo awali halikushuhudia hali hii, limo hatarini kukumbwa na mioto mibaya zaidi, wataalam wanasema, kabla ya Mkutano wa Baraza la Mazingira mjini Nairobi. Mioto misituni na mabadiliko…
Nairobi, Februari 17 2022 - Mioto misituni inatokea mara kwa mara na inaendelea kuwa mikali zaidi, uchafuzi wa kelele mijini unaendelea kuwa kero na kuathiri afya ya umma, na kusababisha kutoingiliana kifenelojia…
Showing 1 - 10 of 144